Mafunzo bila ada · EASTRIP
Mafunzo kwa Vijana Kupata Ajira Kupitia Ujuzi wa Kidijitali
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) inawakaribisha vijana wenye umri wa miaka 18–35 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kuomba kushiriki katika mafunzo ya ujuzi wa kidijitali yatakayolenga kuongeza uwezo wa vijana katika ajira na ujasiriamali.
Fomu ya Maombi
Tafadhali jaza taarifa zote kwa usahihi. Sehemu zilizo na alama ya nyota ni lazima.