Mafunzo bila ada · EASTRIP

Mafunzo kwa Vijana Kupata Ajira Kupitia Ujuzi wa Kidijitali

Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) inawakaribisha vijana wenye umri wa miaka 18–35 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kuomba kushiriki katika mafunzo ya ujuzi wa kidijitali yatakayolenga kuongeza uwezo wa vijana katika ajira na ujasiriamali.

Intake ya Kwanza 21–25 Septemba 2026, Intake ya Pili 28 Septemba – 2 Oktoba 2026. Mahali Kampasi kuu, DSM, Muda Saa 02 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.

Fomu ya Maombi

Tafadhali jaza taarifa zote kwa usahihi. Sehemu zilizo na alama ya nyota ni lazima.

Jinsia *
Unatokea eneo gani? *
Una kitambulisho halali? *
Chagua intake unayoomba *